iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa vyuo vya kidini katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia barua Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, na kusema vyuo vya kidini Iran viko tayari kubadilishana uzoefu na vyuo vya kidini na viongozi wa dini za mbinguni kote duniani.
Habari ID: 3472634    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/05